Mafuriko yasababisha maafa makubwa Afrika Mashariki
Release Date:
Zaidi ya watu 130,000 wame hamishwa na mafuriko nchini Kenya wakati idadi ya vifo ina endelea kuongezeka tena baada ya bwawa kuvunjika Jumatatu.
Mafuriko yasababisha maafa makubwa Afrika Mashariki