Ukatili dhidi ya wanawake waiweka serikali ya Tanzania chini ya shinikizo

Release Date:

Watetezi wa haki za binadamu nchini Tanzania wameitaka serikali ya nchi hiyo kubuni sheria maalum kwa ajili ya kupambana na ukatili dhidi ya wanawake na wasichana kutokana na kuwepo kwa ongezeko la kubwa la ukatili katika kipindi cha hivi karibuni hali inayoendelea kutia wasiwasi.

Ukatili dhidi ya wanawake waiweka serikali ya Tanzania chini ya shinikizo

Title
Ukatili dhidi ya wanawake waiweka serikali ya Tanzania chini ya shinikizo
Copyright
Release Date

flashback