Taarifa ya Habari 23 Mei 2024

Release Date:

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron yuko katika Kisiwa cha Pasifiki cha New Caledonia, kwa mazungumzo yenye lengo laku geuza ukurasa kwa ghasia mbaya iliyo chochewa na mageuzi ya uchaguzi unaopingwa. Watu sita wamefariki katika machafuko hayo na takriban watu 300 wamekamatwa.

Taarifa ya Habari 23 Mei 2024

Title
Taarifa ya Habari 23 Mei 2024
Copyright
Release Date

flashback