Mafuriko makubwa Afghanistan yasababisha vifo vya watu 50 - Mei 18, 2024

Release Date:

Mafuriko makubwa yaliyotokana na mvua kubwa za msimu magharibi mwa Afghanistan yamesababisha vifo vya takriban watu 50 na wengine kadhaa hawajulikani walipo, afisa wa Taliban alisema Jumamosi, akiongeza kuwa idadi ya waliofariki ilitokana na ripoti za awali na huenda ikaongezeka.

Mafuriko makubwa Afghanistan yasababisha vifo vya watu 50 - Mei 18, 2024

Title
Mafuriko makubwa Afghanistan yasababisha vifo vya watu 50 - Mei 18, 2024
Copyright
Release Date

flashback