Taarifa ya Habari 6 Agosti 2024
Release Date:
Australia imeongeza kiwango cha tisho la ugaidi kitaifa kutoka uwezekano hadi kuwezekana. Serikali imesema kuongezeka kwa itikadi kali katika wigo wa kisiasa na kiitikadi uko nyuma ya marekebisho hayo.
Taarifa ya Habari 6 Agosti 2024