Taarifa ya Habari 28 Mei 2024

Release Date:

Waziri wa maswala ya kigeni wa Australia Penny Wong amesema shambulizi baya la anga la Israel katika mji wa Rafah, linatisha na halikubaliki. Takriban watu 45 wame uawa baada ya shambulizi hilo kusababisha moto mkubwa katika kambi ya mahema ya kitongoji cha Tel Al-Sultan.

Taarifa ya Habari 28 Mei 2024

Title
Taarifa ya Habari 28 Mei 2024
Copyright
Release Date

flashback